Mistari ya Biblia kuhusu Paul: Has Barnabas as his companion
Mistari kuhusu Has Barnabas as his companion
Kisha Barnaba akaenda Tarso kumtafuta Sauli,
naye alipompata akamleta Antiokia. Hivyo kwa mwaka mzima Barnaba na Sauli wakakutana na kanisa na kufundisha idadi kubwa ya watu. Ilikuwa ni katika kanisa la Antiokia kwa mara ya kwanza wanafunzi waliitwa Wakristo.