Mistari ya Biblia kuhusu Paul: Escapes to Berea by night; preaches in the synagogue; many honorable women, and men, not a few, believe
Mistari kuhusu Escapes to Berea by night; preaches in the synagogue; many honorable women, and men, not a few, believe
Usiku ule ule, wale ndugu walioamini wakawapeleka Paulo na Sila waende zao Beroya. Walipowasili huko wakaenda kwenye sinagogi la Wayahudi.
Hawa Waberoya walikuwa waungwana zaidi kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa waliupokea ule ujumbe kwa shauku kubwa na kuyachunguza Maandiko kila siku ili kuona kama yale Paulo aliyosema yalikuwa kweli.
Wayahudi wengi wakaamini pamoja na wanawake na wanaume wa Kiyunani wa tabaka la juu.