Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Wine: Used at meals

4 mistari · 83 vipengele

Mistari kuhusu Used at meals

  1. Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, “Nyweni nyote katika kikombe hiki.

  2. Hii ndiyo damu yangu ya Agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.

  3. Lakini ninawaambia, tangu sasa sitakunywa tena katika uzao huu wa mzabibu, hadi siku ile nitakapounywa mpya pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu.”

  4. Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, nao wote wakanywa kutoka humo.