Mistari ya Biblia kuhusu Wine: As a beverage from the earliest age
Mistari kuhusu As a beverage from the earliest age
Alipokunywa huo mvinyo wake akalewa na akalala uchi kwenye hema lake.
Kisha akasema, “Mwanangu, niletee sehemu ya mawindo yako nile, ili nipate kukubariki.” Yakobo akamletea naye akala, akamletea na divai akanywa.