Mistari ya Biblia kuhusu Wine: Possessions of Judah
Mistari kuhusu Possessions of Judah
“Yuda, ndugu zako watakusifu; mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako; wana wa baba yako watakusujudia.
Atamfunga punda wake katika mzabibu, naye mwana-punda wake kwenye tawi lililo bora zaidi; atafua mavazi yake katika divai, majoho yake katika damu ya mizabibu.
Macho yake yatakuwa mekundu kwa divai, meno yake yatakuwa meupe kwa maziwa.