Mistari ya Biblia kuhusu Wine: Forbidden to priests while on duty
Mistari kuhusu Forbidden to priests while on duty
“Wewe na wanao msinywe mvinyo wala kinywaji kingine kilichochachuka wakati mwingiapo katika Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa. Hili litakuwa Agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.
Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.