Mistari ya Biblia kuhusu Wine: Forbidden to the priests while engaged in the tabernacle
Mistari kuhusu Forbidden to the priests while engaged in the tabernacle
“Wewe na wanao msinywe mvinyo wala kinywaji kingine kilichochachuka wakati mwingiapo katika Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa. Hili litakuwa Agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.