Mistari ya Biblia kuhusu Wine: Given to Jesus at the crucifixion
Mistari kuhusu Given to Jesus at the crucifixion
Ghafula mmoja wao akaenda mbio na kuleta sifongo, akaichovya kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Yesu ili anywe.
Nao wakampa divai iliyochanganywa na manemane, lakini hakuinywa.
Askari nao wakaja, wakamdhihaki. Wakamletea siki ili anywe,
Hapo palikuwa na bakuli lililojaa siki. Kwa hiyo wakachovya sifongo kwenye hiyo siki, wakaiweka kwenye ufito wa mti wa hisopo, wakampelekea mdomoni.