God
Mistari inayomtaja God
kama maji yamalizavyo mawe, na mafuriko yachukuavyo udongo, ndivyo unavyoharibu tegemeo la mwanadamu.
Humshinda mara moja kwa daima, naye hutoweka; waibadilisha sura yake na kumwondoa.
Lakini unadhoofisha hata uchaji wa Mungu na kuzuia ibada mbele za Mungu.
Je, wewe husikiliza mashauri ya siri ya Mungu? Je, wewe unaizuia hekima iwe yako mwenyewe?
Je, faraja za Mungu hazikutoshi, au maneno yaliyosemwa kwako kwa upole si kitu?
ili kwamba upate kutoa hasira yako dhidi ya Mungu, na kumwaga maneno kama hayo kutoka kinywani mwako?
Kama Mungu hawaamini watakatifu wake, kama hata mbingu zenyewe si safi machoni pake,
kwa sababu amemkunjia Mungu ngumi yake na kujigamba dhidi ya Mwenyezi,
kwa kiburi akishambulia dhidi ya Mungu akiwa na ngao nene, iliyo imara.
Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya, na kunitupa katika makucha ya waovu.
Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja; amenikamata shingo na kuniponda. Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;
wapiga upinde wake wananizunguka. Bila huruma, huchoma figo zangu, na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.
Huniponda tena na tena; hunishambulia kama shujaa wa vita.
Mwombezi wangu ni rafiki yangu macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;
kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.
“Ee Mungu, nipe dhamana unayodai. Ni nani mwingine atakayeweka dhamana kwa ajili yangu?
Umezifunga akili zao zisipate ufahamu, kwa hiyo hutawaacha wapate ushindi.
Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”
basi jueni kuwa Mungu amenitendea yaliyo mabaya, naye amekokota wavu wake kunizunguka.
Yeye ameizuia njia yangu hivyo siwezi kupita; ameyafunika mapito yangu na giza.
Amenibomoa kila upande hadi nimeisha; amelingʼoa tegemeo langu kama mti.
Hasira yake imewaka juu yangu; amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.
“Nihurumieni, rafiki zangu, kuweni na huruma, kwa kuwa mkono wa Mungu umenipiga.
Kwa nini mnanifuatia kama Mungu afanyavyo? Hamtosheki kamwe na mwili wangu?
Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa, bado nikiwa na mwili huu nitamwona Mungu;