Mistari ya Biblia kuhusu Sin: No man can cleanse himself from
Mistari kuhusu No man can cleanse himself from
Hata kama ningejiosha kwa sabuni na kutakasa mikono yangu kwa magadi,
wewe ungenitupa kwenye shimo la utelezi kiasi kwamba hata nguo zangu zingenichukia sana.
Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
Hata ujisafishe kwa magadi na kutumia sabuni nyingi, bado doa la hatia yako liko mbele zangu,” asema Bwana Mwenyezi.