Mistari ya Biblia kuhusu Sin: Is transgressed by every
Mistari kuhusu Is transgressed by every
Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote.
Kwa sababu yeye aliyesema, “Usizini,” alisema pia, “Usiue.” Basi kama huzini lakini unaua, umekuwa mvunjaji wa sheria.
Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, kwa kuwa dhambi ni uasi.