Mistari ya Biblia kuhusu Sin: Expect impunity in
Mistari kuhusu Expect impunity in
Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau, huficha uso wake na haoni kabisa.”
Mambo haya unayafanya, nami nimekaa kimya, ukafikiri Mimi nami ni kama wewe. Lakini nitakukemea na kuweka mashtaka mbele yako.
Nao husema, “Bwana haoni, Mungu wa Yakobo hafahamu.”