Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Sin: Abominates

5 mistari · 120 vipengele

Mistari kuhusu Abominates

  1. Kwa maana Bwana Mungu wako humchukia yeyote ambaye hufanya mambo kama haya, yeyote anayetenda kwa udanganyifu.

  2. Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana, naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:

  3. macho ya kiburi, ulimi udanganyao, mikono imwagayo damu isiyo na hatia,

  4. moyo uwazao mipango miovu, miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,

  5. shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo, na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.