Mistari ya Biblia kuhusu Sin: Abominates
Mistari kuhusu Abominates
Kwa maana Bwana Mungu wako humchukia yeyote ambaye hufanya mambo kama haya, yeyote anayetenda kwa udanganyifu.
Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana, naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:
macho ya kiburi, ulimi udanganyao, mikono imwagayo damu isiyo na hatia,
moyo uwazao mipango miovu, miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,
shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo, na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.