Mistari ya Biblia kuhusu Sin: Defiling
Mistari kuhusu Defiling
wale ambao ni safi machoni pao wenyewe kumbe hawakuoshwa uchafu wao;
Kwa maana mikono yenu imetiwa mawaa kwa damu na vidole vyenu kwa hatia. Midomo yenu imenena uongo, nazo ndimi zenu zimenongʼona mambo maovu.