Mistari ya Biblia kuhusu Journey of Israel Through The Desert: Persons selected as spies
Mistari kuhusu Persons selected as spies
Hivyo kwa agizo la Bwana Mose akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli.
Haya ndiyo majina yao: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu;
kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
kutoka kabila la Benyamini, Palti mwana wa Rafu;
kutoka kabila la Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi,
kutoka kabila la Manase (kabila la Yosefu), Gadi mwana wa Susi;
kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali;
kutoka kabila la Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli;
kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Wofsi;
kutoka kabila la Gadi, Geueli mwana wa Maki.
Haya ndiyo majina ya watu ambao Mose aliwatuma kuipeleleza nchi. (Mose akampa Hoshea mwana wa Nuni jina Yoshua.)