Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Journey of Israel Through The Desert: Persons selected as spies

14 mistari · 177 vipengele

Mistari kuhusu Persons selected as spies

  1. Hivyo kwa agizo la Bwana Mose akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli.

  2. Haya ndiyo majina yao: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;

  3. kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;

  4. kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;

  5. kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu;

  6. kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;

  7. kutoka kabila la Benyamini, Palti mwana wa Rafu;

  8. kutoka kabila la Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi,

  9. kutoka kabila la Manase (kabila la Yosefu), Gadi mwana wa Susi;

  10. kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali;

  11. kutoka kabila la Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli;

  12. kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Wofsi;

  13. kutoka kabila la Gadi, Geueli mwana wa Maki.

  14. Haya ndiyo majina ya watu ambao Mose aliwatuma kuipeleleza nchi. (Mose akampa Hoshea mwana wa Nuni jina Yoshua.)