Mistari ya Biblia kuhusu Journey of Israel Through The Desert: Across the arnon
Mistari kuhusu Across the arnon
Wakasafiri kutoka hapo na kupiga kambi kando ya Mto Arnoni, ambao uko katika jangwa lililoenea hadi nchi ya Waamori. Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.
Ndiyo sababu Kitabu cha Vita vya Bwana kinasema: “…Mji wa Wahebu nchini Seifa na mabonde ya Arnoni,
na miteremko ya mabonde inayofika hadi mji wa Ari na huelekea mpakani mwa Moabu.”