Mistari ya Biblia kuhusu Servants: To be honoured
Mistari kuhusu To be honoured
Akamwambia, “Karibu nyumbani wewe uliyebarikiwa na Bwana, kwa nini unasimama huko nje? Mimi nimekuandalia nyumba na mahali kwa ajili ya ngamia.”
Yeye autunzaye mtini atakula tunda lake, naye amtunzaye bwana wake ataheshimiwa.