Mistari ya Biblia kuhusu Servants: Maimed of injured by masters to have their freedom
Mistari kuhusu Maimed of injured by masters to have their freedom
“Ikiwa mtu atampiga mtumwa mwanaume au mwanamke kwenye jicho na kuliharibu, ni lazima amwache huru yule mtumwa kama fidia ya hilo jicho.
Kama akimvunja jino mtumwa wa kiume au wa kike, ni lazima amwache huru huyo mtumwa kwa kufidia hilo jino.