Mistari ya Biblia kuhusu Servants: Do not bear to be exalted
Mistari kuhusu Do not bear to be exalted
“Kwa mambo matatu nchi hutetemeka, naam, kwa mambo manne haiwezi kuvumilia:
Mtumwa awapo mfalme, mpumbavu ashibapo chakula,
Watu wataoneana wao kwa wao: mtu dhidi ya mtu, na jirani dhidi ya jirani yake. Kijana atainuka dhidi ya mzee, mtu mnyonge dhidi ya mtu mwenye heshima.