Mistari ya Biblia kuhusu Servants: Servants of Shimei
Mistari kuhusu Servants of Shimei
Lakini baada ya miaka mitatu, watumwa wawili wa Shimei wakatoroka kwenda kwa Akishi mwana wa Maaka, mfalme wa Gathi, naye Shimei akaambiwa, “Watumwa wako wako Gathi.”