Mistari ya Biblia kuhusu Servants: Could not when set free demand wives or children procured during servitude
Mistari kuhusu Could not when set free demand wives or children procured during servitude
Kama akija peke yake, atakwenda huru peke yake, lakini kama akija na mke, ataondoka pamoja naye.
Kama bwana wake alimpatia mke naye akamzalia wana au binti, mwanamke pamoja na watoto wake watakuwa mali ya bwana wake na huyo mwanaume ataondoka peke yake.