Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Prophets: God avenged all injuries done to

8 mistari · 128 vipengele

Mistari kuhusu God avenged all injuries done to

  1. Inakupasa uiangamize nyumba ya bwana wako Ahabu, nami nitalipiza kisasi cha damu ya watumishi wangu manabii na damu ya watumishi wote wa Bwana iliyomwagwa na Yezebeli.

  2. Hakuruhusu mtu yeyote awaonee; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:

  3. “Msiwaguse niliowatia mafuta; msiwadhuru manabii wangu.”

  4. Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Abeli, ambaye alikuwa hana hatia, hadi damu ya Zekaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu.

  5. Amin, nawaambia, haya yote yatakuja juu ya kizazi hiki.

  6. “Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetamani kuwakusanya watoto wako pamoja, kama vile kuku akusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hukutaka!

  7. Tazama nyumba yenu imeachwa ukiwa.

  8. Kwa hiyo kizazi hiki kitawajibika kwa ajili ya damu ya manabii iliyomwagwa tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu,