Mistari ya Biblia kuhusu Prophets: Enoch
Mistari kuhusu Enoch
Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Enoki aliishi jumla ya miaka 365.
Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
Enoki, mtu wa saba kuanzia Adamu alitoa unabii kuhusu watu hawa, akisema: “Tazama, Bwana anakuja pamoja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,