Mistari ya Biblia kuhusu Prophets: Writings of, read in the synagogues every Sabbath
Mistari kuhusu Writings of, read in the synagogues every Sabbath
naye akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na kukuta mahali palipoandikwa:
Baada ya Sheria ya Mose na Kitabu cha Manabii kusomwa, viongozi wa sinagogi wakawatumia ujumbe wakisema, “Ndugu, kama mna neno la kuwafariji watu hawa, tafadhali lisemeni.”