Mistari ya Biblia kuhusu Prophets: Were under the influence of the Holy Spirit while prophesying
Mistari kuhusu Were under the influence of the Holy Spirit while prophesying
Zekaria, baba yake, akajazwa na Roho Mtakatifu, naye akatoa unabii, akisema:
Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.