Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Prophets: By dreams and visions

2 mistari · 128 vipengele

Mistari kuhusu By dreams and visions

  1. Bwana akasema, “Sikilizeni maneno yangu: “Akiwapo nabii wa Bwana miongoni mwenu, nitajifunua kwake kwa maono, nitanena naye katika ndoto.

  2. “Hata itakuwa, baada ya hayo, nitamimina Roho wangu juu ya wote wenye mwili. Wana wenu na binti zenu watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono.