Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Praise: David

5 mistari · 106 vipengele

Mistari kuhusu David

  1. Daudi akamhimidi Bwana mbele ya kusanyiko lote, akisema: “Uhimidiwe wewe, Ee Bwana, Mungu wa Israeli baba yetu, tangu milele hata milele.

  2. Ukuu na uweza, ni vyako, Ee Bwana, na utukufu na enzi na uzuri, kwa kuwa kila kilichoko mbinguni na duniani ni chako wewe. Ee Bwana, ufalme ni wako; umetukuzwa kuwa mkuu juu ya yote.

  3. Utajiri na heshima vyatoka kwako; wewe ndiwe utawalaye vitu vyote. Mikononi mwako kuna nguvu na uweza ili kuinua na kuwapa wote nguvu,

  4. Sasa, Mungu wetu, tunakushukuru na kulisifu Jina lako tukufu.

  5. Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki.