Mistari ya Biblia kuhusu The Scriptures: Obey
Mistari kuhusu Obey
Kabla sijapata shida nilipotea njia, lakini sasa ninalitii neno lako.
Yesu akamjibu, “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu na kulifanya.”
“Nimelidhihirisha jina lako kwa wale ulionipa kutoka ulimwengu. Walikuwa wako, nawe ukanipa mimi, nao wamelitii neno lako.