Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Scriptures: Christ sanctioned, by appealing to them

3 mistari · 108 vipengele

Mistari kuhusu Christ sanctioned, by appealing to them

  1. Lakini Yesu akajibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.’ ”

  2. Je, hamjasoma Andiko hili: “ ‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni;

  3. Je, Maandiko hayasemi kwamba Kristo atakuja kutoka jamaa ya Daudi na kutoka Bethlehemu, mji alioishi Daudi?”