Mistari ya Biblia kuhusu The Scriptures: Nothing to be taken from, or added to
Mistari kuhusu Nothing to be taken from, or added to
Usiongeze wala usipunguze chochote ninachowaamuru ninyi, ila myashike maagizo ya Bwana Mungu wenu ambayo nawapa.
Angalieni kwamba mnafanya yote niliyowaamuru; msiongeze kitu wala msipunguze kitu.