Mistari ya Biblia kuhusu The Scriptures: Admonishing
Mistari kuhusu Admonishing
Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.
Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia.