Mistari ya Biblia kuhusu The Scriptures: They who search, are truly noble
Mistari kuhusu They who search, are truly noble
Hawa Waberoya walikuwa waungwana zaidi kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa waliupokea ule ujumbe kwa shauku kubwa na kuyachunguza Maandiko kila siku ili kuona kama yale Paulo aliyosema yalikuwa kweli.