Mistari ya Biblia kuhusu The Resurrection of Christ: Apostles, Thomas being present
Mistari kuhusu Apostles, Thomas being present
Baada ya siku nane, wanafunzi wake walikuwa tena pamoja ndani ya nyumba, naye Tomaso alikuwa pamoja nao. Ndipo Yesu akaja milango ikiwa imefungwa na kusimama katikati yao akasema, “Amani iwe nanyi.”