Mistari ya Biblia kuhusu The Resurrection of Christ: Apostles in Galilee
Mistari kuhusu Apostles in Galilee
Basi wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda hadi Galilaya kwenye ule mlima ambao Yesu alikuwa amewaagiza.
Walipomwona, wakamwabudu; lakini baadhi yao wakaona shaka.