Mistari ya Biblia kuhusu The Resurrection of Christ: At first did not understand the predictions respecting
Mistari kuhusu At first did not understand the predictions respecting
Wakalihifadhi jambo hilo wao wenyewe, lakini wakawa wanajiuliza, “Huku kufufuka kwa wafu maana yake nini?”
(kwa kuwa mpaka wakati huo walikuwa bado hawajaelewa kutoka Maandiko kwamba ilikuwa lazima Yesu afufuke kutoka kwa wafu).