Mistari ya Biblia kuhusu The Resurrection of Christ: All the Apostles
Mistari kuhusu All the Apostles
Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
Baada ya kusema mambo haya, walipokuwa wanatazama, akachukuliwa juu mbinguni mbele ya macho yao na wingu likampokea wasimwone tena.
Ndipo akamtokea Yakobo na kisha mitume wote.