Mistari ya Biblia kuhusu Miracles Wrought Through Servants of God: Water sweetened
Mistari kuhusu Water sweetened
Ndipo Mose akamlilia Bwana, naye Bwana akamwonyesha kipande cha mti. Akakitupa ndani ya maji, nayo maji yakawa matamu. Huko Bwana akawapa amri na sheria na huko akawajaribu.