Mistari ya Biblia kuhusu Miracles Wrought Through Servants of God: Special miracles
Mistari kuhusu Special miracles
Mungu akafanya miujiza mingi isiyo ya kawaida kwa mkono wa Paulo,
hivi kwamba leso au vitambaa vilivyokuwa vimegusa mwili wa Paulo viliwekwa juu ya wagonjwa, nao wakapona magonjwa yao, na pepo wachafu wakawatoka.