Mistari ya Biblia kuhusu Miracles Wrought Through Servants of God: Syrians restored to sight
Mistari kuhusu Syrians restored to sight
Baada ya kuingia mjini, Elisha akasema, “Bwana, yafungue macho ya watu hawa ili wapate kuona.” Ndipo Bwana akayafungua macho yao, na walipotazama, kumbe hapo ndipo walipojikuta, ndani ya Samaria.