Mistari ya Biblia kuhusu Miracles Wrought Through Servants of God: The gates of Gaza carried away
Mistari kuhusu The gates of Gaza carried away
Samsoni akalala mpaka usiku wa manane. Akaondoka katikati ya usiku, akashika milango ya lango la mji pamoja na miimo yake miwili, akaingʼoa, makomeo yake na vyote. Akaviweka mabegani mwake na kuvipeleka mpaka kwenye kilele cha mlima ule unaokabili Hebroni.