Mistari ya Biblia kuhusu Miracles Wrought Through Servants of God: Amalek vanquished
Mistari kuhusu Amalek vanquished
Ikawa wakati wote Mose alipokuwa amenyanyua mikono yake, Waisraeli walikuwa wakishinda, lakini kila aliposhusha mikono yake Waamaleki walishinda.
Mikono ya Mose ilipochoka, wakachukua jiwe na kumpa alikalie. Aroni na Huri wakaishikilia juu mikono ya Mose, mmoja upande huu na mwingine upande huu. Wakaitegemeza mikono yake ikabaki thabiti mpaka jua lilipozama.
Kwa hiyo Yoshua akalishinda jeshi la Waamaleki kwa upanga.