Rukia maudhui

circa 1446–1406 BC

The Wilderness Years

Forty years of wandering in the desert test Israel's faith and prepare a new generation to enter the promised land.

2,247 mistari · 2 vitabu vimehusishwa

Mistari ya kipindi hiki

Chuja kwa kitabu
  1. Hesabu 7:30takriban 1490 KK

    Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa kabila la Reubeni, alileta sadaka yake.

  2. Hesabu 7:31takriban 1490 KK

    Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

  3. Hesabu 7:32takriban 1490 KK

    sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

  4. Hesabu 7:33takriban 1490 KK

    fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

  5. Hesabu 7:34takriban 1490 KK

    mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

  6. Hesabu 7:35takriban 1490 KK

    maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elisuri mwana wa Shedeuri.

  7. Hesabu 7:36takriban 1490 KK

    Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.

  8. Hesabu 7:37takriban 1490 KK

    Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

  9. Hesabu 7:38takriban 1490 KK

    sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

  10. Hesabu 7:39takriban 1490 KK

    fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

  11. Hesabu 7:40takriban 1490 KK

    mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

  12. Hesabu 7:41takriban 1490 KK

    maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Shelumieli mwana wa Surishadai.

  13. Hesabu 7:42takriban 1490 KK

    Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, kiongozi wa watu wa Gadi, alileta sadaka yake.

  14. Hesabu 7:43takriban 1490 KK

    Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

  15. Hesabu 7:44takriban 1490 KK

    sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

  16. Hesabu 7:45takriban 1490 KK

    fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

  17. Hesabu 7:46takriban 1490 KK

    mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

  18. Hesabu 7:47takriban 1490 KK

    maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deueli.

  19. Hesabu 7:48takriban 1490 KK

    Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa watu wa Efraimu, alileta sadaka yake.

  20. Hesabu 7:49takriban 1490 KK

    Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

  21. Hesabu 7:50takriban 1490 KK

    sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

  22. Hesabu 7:51takriban 1490 KK

    fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

  23. Hesabu 7:52takriban 1490 KK

    mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

  24. Hesabu 7:53takriban 1490 KK

    maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elishama mwana wa Amihudi.

  25. Hesabu 7:54takriban 1490 KK

    Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa watu wa Manase, alileta sadaka yake.