Rukia maudhui

circa 1446–1406 BC

The Wilderness Years

Forty years of wandering in the desert test Israel's faith and prepare a new generation to enter the promised land.

2,247 mistari · 2 vitabu vimehusishwa

Mistari ya kipindi hiki

Chuja kwa kitabu
  1. Hesabu 7:55takriban 1490 KK

    Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

  2. Hesabu 7:56takriban 1490 KK

    sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

  3. Hesabu 7:57takriban 1490 KK

    fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

  4. Hesabu 7:58takriban 1490 KK

    mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

  5. Hesabu 7:59takriban 1490 KK

    maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Gamalieli mwana wa Pedasuri.

  6. Hesabu 7:60takriban 1490 KK

    Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa watu wa Benyamini, alileta sadaka yake.

  7. Hesabu 7:61takriban 1490 KK

    Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

  8. Hesabu 7:62takriban 1490 KK

    sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

  9. Hesabu 7:63takriban 1490 KK

    fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

  10. Hesabu 7:64takriban 1490 KK

    mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

  11. Hesabu 7:65takriban 1490 KK

    maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gideoni.

  12. Hesabu 7:66takriban 1490 KK

    Siku ya kumi Ahiezeri mwana wa Amishadai, kiongozi wa watu wa Dani, alileta sadaka yake.

  13. Hesabu 7:67takriban 1490 KK

    Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

  14. Hesabu 7:68takriban 1490 KK

    sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

  15. Hesabu 7:69takriban 1490 KK

    fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

  16. Hesabu 7:70takriban 1490 KK

    mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

  17. Hesabu 7:71takriban 1490 KK

    maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahiezeri mwana wa Amishadai.

  18. Hesabu 7:72takriban 1490 KK

    Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.

  19. Hesabu 7:73takriban 1490 KK

    Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

  20. Hesabu 7:74takriban 1490 KK

    sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

  21. Hesabu 7:75takriban 1490 KK

    fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

  22. Hesabu 7:76takriban 1490 KK

    mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

  23. Hesabu 7:77takriban 1490 KK

    maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.

  24. Hesabu 7:78takriban 1490 KK

    Siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa watu wa Naftali, alileta sadaka yake.

  25. Hesabu 7:79takriban 1490 KK

    Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;