Rukia maudhui

Moses

774 mistari · 7 wanafamilia

Mistari inayomtaja Moses

Chuja kwa kitabu
  1. Aroni akamjibu Mose, “Leo wanangu wametoa sadaka zao za dhambi na sadaka zao za kuteketezwa mbele za Bwana, lakini mambo kama haya yamenitokea mimi. Je, Bwana angependezwa kama ningekuwa nimekula sadaka ya dhambi leo?”

  2. Mose aliposikia haya, akaridhika.

  3. Bwana akawaambia Mose na Aroni,

  4. Bwana akamwambia Mose,

  5. Bwana akawaambia Mose na Aroni,

  6. Bwana akamwambia Mose,

  7. Bwana akawaambia Mose na Aroni,

  8. Bwana akawaambia Mose na Aroni,

  9. Bwana akasema na Mose baada ya kifo cha wale wana wawili wa Aroni waliokufa walipokaribia mbele za Bwana.

  10. Bwana akamwambia Mose: “Mwambie ndugu yako Aroni asije wakati wowote atakavyo yeye ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, nyuma ya pazia pale mbele ya kiti cha rehema kile kilichoko juu ya Sanduku la Agano, la sivyo atakufa, kwa sababu huwa ninatokea ndani ya wingu juu ya kile kiti cha rehema.

  11. “Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu: Upatanisho utafanywa mara moja tu kwa mwaka kwa ajili ya dhambi zote za Waisraeli.” Ndivyo ilivyofanyika, kama vile Bwana alivyomwamuru Mose.

  12. Bwana akamwambia Mose,

  13. Bwana akamwambia Mose,

  14. Bwana akamwambia Mose,

  15. Bwana akamwambia Mose,

  16. Bwana akamwambia Mose, “Sema na makuhani, wana wa Aroni, uwaambie: ‘Kamwe kuhani asijitie unajisi kwa utaratibu wa kiibada kwa ajili ya mtu wake yeyote anayekufa,

  17. Bwana akamwambia Mose,

  18. Basi Mose akamwambia Aroni jambo hili na wanawe, pamoja na Waisraeli wote.

  19. Bwana akamwambia Mose,

  20. Bwana akamwambia Mose,

  21. Bwana akamwambia Mose,

  22. Bwana akamwambia Mose,

  23. Bwana akamwambia Mose,

  24. Bwana akamwambia Mose,

  25. Bwana akamwambia Mose,