Skip to content

Zipporah

3 mistari · 6 wanafamilia

Mistari inayomtaja Zipporah

  1. Mose akakubali kukaa kwa huyo mtu, ambaye alimpa Mose binti yake aliyeitwa Sipora amwoe.

  2. Lakini Sipora akachukua jiwe gumu, akakata govi la mwanawe na kugusa nalo miguu ya Mose. Sipora akasema, “Hakika wewe ni bwana arusi wa damu kwangu.”

  3. Baada ya Mose kumrudisha mkewe Sipora, Yethro baba mkwe wake alimpokea