Mistari ya Biblia kuhusu Alliance and Society with the Enemies of God: Saints grieve to witness in their brethren
Mistari kuhusu Saints grieve to witness in their brethren
Hawa walikuwa chanzo cha huzuni ya Isaki na Rebeka.
Niliposikia jambo hili nilirarua koti langu na joho langu, nikazingʼoa nywele za kichwa changu na ndevu zangu na kuketi nikishangaa.
Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.