Mistari ya Biblia kuhusu Alliance and Society with the Enemies of God: Jeremiah
Mistari kuhusu Jeremiah
Kamwe sikuketi katika kundi la wafanyao sherehe, wala kamwe sikujifurahisha pamoja nao; niliketi peke yangu kwa sababu mkono wako ulikuwa juu yangu, na wewe ulikuwa umenijaza hasira.