Mistari ya Biblia kuhusu Alliance and Society with the Enemies of God: Saints grieve to meet with, in their intercourse with the world
Mistari kuhusu Saints grieve to meet with, in their intercourse with the world
Niko katikati ya simba, nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu: watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, ambao ndimi zao ni panga kali.
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
na kama alimwokoa Loti, mtu mwenye haki, ambaye alihuzunishwa na maisha machafu ya watu wapotovu
(kwa sababu yale matendo mapotovu aliyoyaona na kuyasikia huyo mtu mwenye haki alipoishi miongoni mwao yalimhuzunisha siku baada ya siku):