Rukia maudhui

Ezion-geber

7 verses · 2 known names

Anajulikana pia kama: Ezion-gaber

29.7500, 35.0300 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Ezion-geber

  1. Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.

  2. Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.

  3. Basi tulipita kwa ndugu zetu wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri. Tuligeuka kutoka njia ya Araba ambayo inatokea Elathi na Esion-Geberi, tukasafiri kufuata njia ya jangwa la Moabu.

  4. Mfalme Solomoni pia akatengeneza pia meli huko Esion-Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika Edomu, kwenye ukingo wa Bahari ya Shamu.

  5. Wakati huu Yehoshafati akaunda merikebu nyingi za biashara ili kwenda Ofiri kuchukua dhahabu, lakini kamwe hazikusafiri, kwa maana zilivunjika huko Esion-Geberi.

  6. Ndipo Solomoni akaenda Esion-Geberi na Elathi katika pwani ya Edomu.

  7. Akaungana naye kutengeneza meli nyingi za kwenda Tarshishi, nazo zilitengenezwa huko Esion-Geberi.