Mistari ya Biblia kuhusu Woman: To be slain by, considered a great disgrace
Mistari kuhusu To be slain by, considered a great disgrace
Akamwita kwa haraka kijana yule aliyechukua silaha zake, na kumwambia, “Chukua upanga wako na uniue, watu wasije wakasema kwamba, ‘Mwanamke amemuua.’ ” Basi yule kijana akamchoma upanga, naye akafa.